Sign in
Download Opera News App

News Politics

 

Politics

 

Africa politics

Raila Odinga: There are 2,000 Hackers Currently Trying to Manipulate Data Inside the Server

Azimio la Umoja-One Kenya Coalition leader Raila Odinga has disclosed that that there 2, 000 hackers trying to manipulate data inside the server. He also accused Senator Boni Khalwale for misunderstanding the difference between the server and ballot box.

"Wanasema ati server zilifunguliwa...naona Khalwale anaambia Sifuna ati masanduku sijui nne, boxes zilifunguliwa. Ile masanduku sio server. Bwana Khalwale rudi kwa shule! Server ni ile ilirushwa kwa runinga kutoka kwa kituo cha kà kura na nyingine kutoka kwa ile ya Constituency na moja kwa moja ikaingia kwa ile nyungu ambayo kwa kimombo inaitwa server. Sanduku ya kura sio server bwana Khalwale. Sasa tumesema hio server mpaka ifunguliwe! Tulisikia wameweka vijana sijui elfu mbili ambao wanajaribu kubadilisha maneno ndani ya hio server", Raila Odinga posed.

"We want to make rigging a costly enterprise that nobody will ever again think of rigging elections in this country. There will be no peace without resolving this matter", Raila Odinga.

Content created and supplied by: WesternKenya (via Opera News )

Azimio Boni Khalwale Kenya Coalition Raila Tulisikia

COMMENTS

Load app to read more comments